Genesis 29:34

34Akapata tena mimba, naye alipozaa mwana, akasema, “Sasa afadhali mume wangu ataambatana na mimi, kwa sababu nimemzalia wana watatu.” Kwa hiyo akamwita Lawi.
Lawi maana yake Nimeunganishwa, yaani na mume wangu.

Copyright information for SwhKC